Matthew 13:13-14

13 aHii ndiyo sababu nasema nao kwa mifano: “Ingawa wanatazama, hawaoni;
wanasikiliza, lakini hawasikii, wala hawaelewi.

14 bKwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema: “ ‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa;
na pia mtatazama lakini hamtaona.
Copyright information for SwhKC